post-feature-image
HomeHABARI

Askofu Gwajima Awashangaa Viongozi wa Dini Kufumbua Maovu Yayoendelea Nchini

Mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima amefunguka na kudai anawashangaa viongozi wa kiroho wanaokaa kimya na k...

Friday, April 20, 2018 Polisi waua majambazi wanne Pwani
Rais Magufuli achukizwa na Mitandao ya Kijamii
BREAKING NEWS: Masogange amefariki dunia
Mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima amefunguka na kudai anawashangaa viongozi wa kiroho wanaokaa kimya na kuacha masuala ya uhalifu yakiendelea katika nchi bila ya kusema lolote juu ya hilo.

Mchungaji Gwajima amesema hayo akiwa Kanisa kwake leo Jumapili ambapo aliahidi kumfanyia ibada maalum ya kumuombea mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu baada ya kupigwa risasi na watu wasiofahamika akiwa nyumbani kwake Dodoma siku za hivi karibuni.

"Naona huruma sana kwa watu wanaofanya uhalifu katika nchi kwa sababu unapomwaga damu ya mtu na wewe yako itamwaga na mwingine bila ya kujarisha umemwaga kwa sababu zipi. Damu imekuwa ikimwagika sana katika nchi hii kuanzia kule Kibiti. Nashangaa sijui imekuwaje viongozi wa kiroho walikuwa kimya, mimi sikuwepo. Viongozi wa kiroho ni lazima waseme", amesema Gwajima.

Aidha, Mchungaji Gwajima katika maombi yake amewataka watu wanaofanya vitendo vya uhalifu nchini wafanye hima kutubu dhambi zao juu ya wanachokifanya na endapo hawatafanya hivyo basi watambue yatawafika yale yale ambayo walikuwa wakiwatendea wenzao.

"Mambo ya kiuhalifu tunatakiwa kuyakemea bila ya kuwa na uoga wa aina yeyote wala kuangalia upande wowote ule na hivyo ndivyo Mungu anavyotaka, unasema unachotakiwa kusema kama hiki hakipo sawa. Tundu Lissu ana baba, mama, watoto pamoja na mke anatakiwa kuishi", amesisitiza Gwajima.

Kwa upande mwingine, Gwajima amesema hakuna jambo baya kama kuwepo katika nchi halafu hutambui inaeleka wapi.
Name

BURUDANI HABARI MAKALA MICHEZO
false
ltr
item
DIMBWI LA HABARI TZ: Askofu Gwajima Awashangaa Viongozi wa Dini Kufumbua Maovu Yayoendelea Nchini
Askofu Gwajima Awashangaa Viongozi wa Dini Kufumbua Maovu Yayoendelea Nchini
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEheJa6ikXjlnBqnuO1a_5DoSDGdQuqrpE1Gn_p1JEh8dZ1Z0AdW1bUyeUGU5-5HKrPdMfsSIZGHgSAgR76mHefcj7NAwW2JFCe6gIFRn-qEHJ2OJopgXcfLZGhnsI0bRZRlpxZIe9bQEzhI/s1600/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEheJa6ikXjlnBqnuO1a_5DoSDGdQuqrpE1Gn_p1JEh8dZ1Z0AdW1bUyeUGU5-5HKrPdMfsSIZGHgSAgR76mHefcj7NAwW2JFCe6gIFRn-qEHJ2OJopgXcfLZGhnsI0bRZRlpxZIe9bQEzhI/s72-c/1.jpg
DIMBWI LA HABARI TZ
https://dimbwilahabari.blogspot.com/2017/09/askofu-gwajima-awashangaa-viongozi-wa.html
https://dimbwilahabari.blogspot.com/
https://dimbwilahabari.blogspot.com/
https://dimbwilahabari.blogspot.com/2017/09/askofu-gwajima-awashangaa-viongozi-wa.html
true
8218800783604508792
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago